WhatsApp

Tunza Biashara yako kwa sauti au maandishi.

_

Jaribu Bure (siku 14)Tazama Video
myPosTech mobile hero

Kuhusu myPosTech

myPosTech umeundwa mahsusi kutatua changamoto halisi za wafanyabiashara wakubwa na wadogo. Wafanyabiashara wengi walikuwa wanapoteza faida kwa sababu ya kumbukumbu hafifu za bidhaa zao, hesabu zisizo sahihi, bidhaa kuisha bila kujua kupelekea kukosa wateja, na madeni lisilofuatiliwa vizuri. myPosTech imekuja kama suluhisho rahisi, salama na nafuu – kwa kila biashara, Kwa kusajili bidhaa kwa mara moja tu, kuuza kwa kusema "Nimeuza sukari robo", kurekodi mauzo kiotomatiki, na kuona faida yako papo hapo.myPosTech - Biashara yako, Teknolojia yetu.

Maswali Yanayoulizwa Sana (FAQ)

myPosTech ni nini hasa?

myPosTech ni mfumo wa kisasa wa kuuza na kusimamia biashara kupitia simu au kompyuta, unaosaidia kutunza kumbukumbu, kupata ripoti, na kuongeza faida.

Je, ni bure nikianza kutumia au kujaribu mfumo ?

Ndio, ni bure ndani ya siku 14 usichelewe account itafungwa.

Naweza kulipa vipi kifurushi?

Unaweza kulipa kupitia Tigo Pesa na Airtel Money kwa sasa au kwa maelezo zaidi wasiliana nasi WhatsApp.

Je, taarifa zangu ziko salama?

Ndiyo, tunatunza taarifa zako kwa usalama wa hali ya juu na backup ya kila siku.

Naweza kubadilisha kifurushi baadaye?

Ndiyo, unaweza kubadilisha au kupandisha kifurushi wakati wowote bila kupoteza data zako.

Changamoto za Wamiliki wa Biashara na Jinsi myPosTech Inavyosaidia

πŸ”΄ Changamoto za Wafanyabiashara

  • β€’ Kukosa njia rahisi ya kurekodi mauzo kila siku
  • β€’ Kushindwa kujua faida halisi au hasara
  • β€’ Kukosa takwimu hivyo wafanyabiashara kushindwa kujua biashara kushuka au kukua kiasi gani.
  • β€’ Kusahau madeni ya wateja au bidhaa zilizouzwa kwa mkopo
  • β€’ Biashara kuharibika kutokana na kutokuwepo na kumbukumbu
  • β€’ Kutokuwa na mfumo unaofanya kazi bila intaneti
  • β€’ Kupoteza muda kwa kuandika kumbukumbu kwa mkono
  • β€’ Ugumu wa kukumbuka bei hasa kama muuzaji ni mpya
  • β€’ Ugumu wa kujua bidhaa ipi ina faida zaidi ili kuiongeza zaidi
  • β€’ Kukosa orodha ya bidhaa zilizokwisha.

βœ… myPosTech Inatatua Kwa Urahisi

  • βœ” Kurekodi mauzo kwa kutumia kinasa sauti au maandishi kiotomatiki
  • βœ” Kuonyesha faida, hasara na matumizi kwa muda halisi
  • βœ” Kufuatilia madeni na kumbukumbu za kila mteja
  • βœ” Kuhifadhi taarifa zote salama hata bila bando
  • βœ” Mtumiaji anaweza kutumia simu tu kuendesha kila kitu!
  • βœ” Kupata orodha ya bidhaa mara tu zitakapoisha
  • βœ” Uchunguzi wa kina kwenye madeni bila madaftari na kwa urahisi zaidi
  • βœ” Hakuna haja ya kukumbuka bei kila kitu kinenda kiotomatiki
  • βœ” Hapata ripoti ya kila kitu unataka tena kwa wakati

Jinsi myPosTech Inavyofanya Kazi

Ni Hatua tano tu, kutumia mfumo wa myPosTech β€” kuanzia kuuza mpaka kupata ripoti ya faida!

πŸ“₯

1. Sajili bidhaa zako.

Bonyeza kuona zaidi ...

🎀

2. Tumia mic kufanya mauzo, manunuzi au matumizi au kukopesha.

Bonyeza kuona zaidi ...

🧾

3. Hakiki taarifa kisha zitunze

Bonyeza kuona zaidi ...

πŸ“Š

4. Pata Faida na Ripoti

Bonyeza kuona zaidi ...

πŸ“±

5. [Sio Lazima] Hakiki hesabu zako kwa calculator

Bonyeza kuona zaidi ...

Pakia biashara yako kwa Tsh 5,000 tu

Anza kutumia mfumo wa kisasa wa kuuza, kutunza kumbukumbu na kupata ripoti kwa bei nafuu kabisa.

πŸš€ Angalia Vifurushi
πŸ”’

Taarifa zako zipo salama – Tunatumia Teknolojia ya kisasa kuhifadhi Taarifa zako kwa usiri kamili (argon2, jwtToken cookies, no XSS, no CSRF, no DDoS attacks).

Screenshot ya simu

myPostech Inapatikana Wapi?

Kwa sasa myPostech inapatikana Tanzania nzima πŸ‡ΉπŸ‡Ώ, inafanya kazi bila intaneti kupitia App yetu (PWA) na inaunga mkono malipo papo kwa papo kupitia clickPesa.

TanzaniaMikoa yoteInafanya kazi bila bandoLugha: KiswahiliSarafu: TZS

Powered by:

clickPesaVercelElysia.jsDrizzle ORMBunViteQwik
πŸš€ Coming soon to Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ & Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬

Walisema Nini Kuhusu myPosTech?

Asha M.

Asha M.

Mama Ntilie - Dodoma

β€œmyPosTech imenisaidia kurekodi mauzo yangu bila stress. Sasa najua faida na matumizi kila siku!”

Juma K.

Juma K.

Mmiliki wa Duka - Arusha

β€œKifurushi cha Lite kimenifanya niwe na ripoti sahihi za deni. Biashara imekua kwa kasi!”

Fatma L.

Fatma L.

Supermarket Manager - Mwanza

β€œPostech Pro ni kama kuwa na msaidizi wa IT. Hisa, wafanyakazi, kila kitu kiko wazi!”

Wasiliana Nasi

Una swali au changamoto? Tupo tayari kukusaidia. Unaweza pia kupiga simu: 0621 031 195

Unaweza pia kututumia barua pepe:huduma@mypostech.store

Au jaza fomu ifuatayo hapa chini: